Monday, July 23, 2012

KUSUDI LA MUNGU KWA MWANADAMU

kila mwanadamu anamazingila aliyoumbiwa,ukisha kuja duniani unamiti miwil.

Mungu anapomleta mwanadamu duniani anakua ameshapanga kitu gani anaenda kufanya.
Uji duniani Mungu iliakutafutie kazi

Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema Bwana,ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi siku zenu za mwisho. Ndo inavotwambia YER:29:11 

Ona Mungu anavotupenda, katika WAEFESO:1:4 Anazidi kusema, angalia..kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla yakuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo.  zidi kuona anavotuangaikia....

2WAKORINTHO:2:11 Anasema Shetani asije akapata kutushinda, kwa maana hatukosi kuzijua fikira zake.

Ona sasa  hii 2WAKORINTHO 11:3 anasema lakini nachelea, kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu,mkauacha unyofu na usafi kwa kristo. kumbe Hawa ndo alidanganywa Adamu hakudanganywa.. ona sasa hii...1TIMOTHEO: 2:14 inasema...Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa. 

Sikia hii mtu wa Mungu.. kumbe masaa yote inabidi tukae tayari maana shetani yuko vitani mda wote na masaa yote WAEFESO: 6:11 inasema vaeni siraha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga ila za shetani.

No comments:

Post a Comment