Monday, September 3, 2012
MTUMISHI WA MUNGU ALA KIAPO CHA NDOA
Sabrina alivotokelezea
Bwana harusi na bibi harusi wakipata chakula
Best man na matron wakipata nao chakula
Mtumisha wa mungu Bw. Frederick bigilwa juma mosi alikula kiapo cha ndoa, ama alifunga pingu za maisha kwa lugha nyingine, na Loyce kokubelwa Henerico, katika kanisa la usharika wa mbezi na Reception ikafanyika katika ukumbi wa" STELLA MATUNTINA".
Maana neno la mungu linasema mwanamme atamwacha baba na mama yake ataambatana na mkewe nao watakua mwili mmoja. MWANZO: 2:24
"MUNGU AIBALIKI NDOA YENU IWE NA BARAKA TELE..."
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment